Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 24:50-53

Luka 24:50-53 SRUV

Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki. Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni. Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu. Nao daima walikuwa ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu.

Soma Luka 24