Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 17:20-21

Luka 17:20-21 SRUV

Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza; wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.

Soma Luka 17