Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 10:12-13

Yohana 10:12-13 SRUV

Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwamwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya. Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake.

Soma Yohana 10

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 10:12-13

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha