Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 10:12-13

Yohana 10:12-13 NEN

Mtu wa kuajiriwa sio mchungaji mwenye kondoo. Amwonapo mbwa mwitu akija, yeye hukimbia na kuwaacha kondoo. Naye mbwa mwitu hulishambulia kundi na kulitawanya. Yeye hukimbia kwa sababu ameajiriwa wala hawajali kondoo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 10:12-13