Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 9:13-14

Yeremia 9:13-14 SRUV

Naye BWANA asema, Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu niliyoweka mbele yao, wala hawakuitii sauti yangu, wala kuenda katika hiyo; bali wameenda katika ushupavu wa mioyo yao wenyewe, na kuandamana na Mabaali, kama walivyofundishwa na baba zao.

Soma Yeremia 9