Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 5:12-13

Yeremia 5:12-13 SRUV

Wamemkataa BWANA, na kusema, Si yeye; wala hayatatupata mabaya; wala hatutaona upanga wala njaa; na manabii watakuwa upepo, wala neno lake halimo ndani yao; basi ndivyo watakavyotendwa.

Soma Yeremia 5