Yer 5:12-13
Yer 5:12-13 SUV
Wamemkataa BWANA, na kusema, Si yeye; wala hayatatupata mabaya; wala hatutaona upanga wala njaa; na manabii watakuwa upepo, wala neno lake halimo ndani yao; basi ndivyo watakavyotendwa.
Wamemkataa BWANA, na kusema, Si yeye; wala hayatatupata mabaya; wala hatutaona upanga wala njaa; na manabii watakuwa upepo, wala neno lake halimo ndani yao; basi ndivyo watakavyotendwa.