Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 34:12

Ezekieli 34:12 SRUV

Kama vile mchungaji atafutavyo kondoo wake, siku ile anapokuwa kati ya kondoo wake waliotawanyika; ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu; nami nitawaokoa katika mahali pote walipotawanyika, katika siku ya mawingu na giza.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 34:12