Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 9:17-18

Matendo 9:17-18 SRUV

Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Sauli, Bwana amenituma, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu. Mara vikaanguka machoni pake vitu kama magamba, akapata kuona, akasimama, akabatizwa

Soma Matendo 9

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 9:17-18