Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Samweli 22:2-4

2 Samweli 22:2-4 SRUV

akasema, BWANA ndiye jabali langu, na ngome yangu, na mwokozi wangu, Mungu wa mwamba wangu, nitamwamini yeye; Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, mnara wangu, na kimbilio langu; Mwokozi wangu, waniokoa na jeuri. Nitamwita BWANA astahiliye kusifiwa; Hivyo nitaokoka na adui zangu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Samweli 22:2-4