Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wafalme 24:20

2 Wafalme 24:20 SRUV

Maana kwa sababu ya hasira ya BWANA mambo hayo yalitokea katika Yerusalemu na katika Yuda, hata alipokuwa amewaondosha wasiwe mbele ya uso wake; naye Sedekia akamwasi mfalme wa Babeli.