Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 16:31

1 Wafalme 16:31 SRUV

Ikawa, kama ingalikuwa neno dogo tu kuyaendea makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, akaenda akamtumikia Baali, akamsujudia.