Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohana 2:3-6

1 Yohana 2:3-6 SRUV

Na katika hili tunajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake. Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake. Lakini yeye alishikaye neno lake, katika huyo upendo wa Mungu umekamilika kweli kweli. Katika hili twajua ya kuwa tumo ndani yake. Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.

Soma 1 Yohana 2

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Yohana 2:3-6