Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohana 1:7, 9

1 Yohana 1:7 SRUV

bali tukienenda katika nuru, kama yeye alivyo katika nuru, tunashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.

Soma 1 Yohana 1

1 Yohana 1:9 SRUV

Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kututakasa na udhalimu wote.

Soma 1 Yohana 1