Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 9:1-10

Zab 9:1-10 SUV

Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu; Nitafurahi na kukushangilia Wewe; Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu. Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako. Kwa maana umenifanyia hukumu na haki Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki. Umewakemea mataifa; Na kumwangamiza mdhalimu; Umelifuta jina lao milele na milele; Adui wamekoma na kuachwa ukiwa milele. Nayo miji yao uliing’oa; Hata kumbukumbu lao limepotea. Bali BWANA atakaa milele, Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu. Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa adili. BWANA atakuwa ngome kwake aliyeonewa, Naam, ngome kwa nyakati za shida. Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe, Maana Wewe, BWANA hukuwaacha wakutafutao.

Soma Zab 9

Verse Images for Zab 9:1-10

Zab 9:1-10 - Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote;
Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;
Nitafurahi na kukushangilia Wewe;
Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu.
Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma;
Hujikwaa na kuangamia mbele zako.
Kwa maana umenifanyia hukumu na haki
Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki.
Umewakemea mataifa;
Na kumwangamiza mdhalimu;
Umelifuta jina lao milele na milele;
Adui wamekoma na kuachwa ukiwa milele.
Nayo miji yao uliing’oa;
Hata kumbukumbu lao limepotea.
Bali BWANA atakaa milele,
Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.
Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki;
Atawaamua watu kwa adili.
BWANA atakuwa ngome kwake aliyeonewa,
Naam, ngome kwa nyakati za shida.
Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe,
Maana Wewe, BWANA hukuwaacha wakutafutao.Zab 9:1-10 - Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote;
Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;
Nitafurahi na kukushangilia Wewe;
Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu.
Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma;
Hujikwaa na kuangamia mbele zako.
Kwa maana umenifanyia hukumu na haki
Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki.
Umewakemea mataifa;
Na kumwangamiza mdhalimu;
Umelifuta jina lao milele na milele;
Adui wamekoma na kuachwa ukiwa milele.
Nayo miji yao uliing’oa;
Hata kumbukumbu lao limepotea.
Bali BWANA atakaa milele,
Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.
Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki;
Atawaamua watu kwa adili.
BWANA atakuwa ngome kwake aliyeonewa,
Naam, ngome kwa nyakati za shida.
Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe,
Maana Wewe, BWANA hukuwaacha wakutafutao.Zab 9:1-10 - Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote;
Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;
Nitafurahi na kukushangilia Wewe;
Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu.
Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma;
Hujikwaa na kuangamia mbele zako.
Kwa maana umenifanyia hukumu na haki
Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki.
Umewakemea mataifa;
Na kumwangamiza mdhalimu;
Umelifuta jina lao milele na milele;
Adui wamekoma na kuachwa ukiwa milele.
Nayo miji yao uliing’oa;
Hata kumbukumbu lao limepotea.
Bali BWANA atakaa milele,
Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.
Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki;
Atawaamua watu kwa adili.
BWANA atakuwa ngome kwake aliyeonewa,
Naam, ngome kwa nyakati za shida.
Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe,
Maana Wewe, BWANA hukuwaacha wakutafutao.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 9:1-10

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha