Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mt 8:1-4

Mt 8:1-4 SUV

Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata. Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa. Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika. Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila enenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.

Soma Mt 8

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mt 8:1-4