Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Lk 14:12-14

Lk 14:12-14 SUV

Akamwambia na yule aliyemwalika, Ufanyapo chakula cha mchana au cha jioni, usiwaite rafiki zako, wala ndugu zako, wala jamaa zako, wala jirani zako wenye mali; wao wasije wakakualika wewe ukapata malipo. Bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu, nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.

Soma Lk 14

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Lk 14:12-14