Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yer 11:8

Yer 11:8 SUV

Lakini hawakutii, wala kutega masikio yao, bali walikwenda kila mtu katika ushupavu wa moyo wake mbaya; kwa hiyo nimeleta juu yao maneno yote ya maagano haya, niliyowaamuru wayafanye; lakini hawakuyafanya.

Soma Yer 11