Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ebr 10:26-27

Ebr 10:26-27 SUV

Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi; bali kuna kuitazamia hukumu yenye kutisha, na ukali wa moto ulio tayari kuwala wao wapingao.

Soma Ebr 10