Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Efe 5:25-28

Efe 5:25-28 SUV

Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake; ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa. Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.

Soma Efe 5

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Efe 5:25-28