Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Kor 12:8-10

2 Kor 12:8-10 SUV

Kwa ajili ya kitu hicho nalimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke. Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu. Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na ufidhuli, na misiba, na adha, na shida, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo na nguvu.

Soma 2 Kor 12

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Kor 12:8-10