Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Kor 6:18-20

1 Kor 6:18-20 SUV

Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yen

Soma 1 Kor 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Kor 6:18-20