Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 6:18-20

1 Wakorintho 6:18-20 NEN

Ikimbieni zinaa. Dhambi zingine zote atendazo mtu ziko nje ya mwili wake, lakini yeye aziniye hutenda dhambi ndani ya mwili wake mwenyewe. Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe, kwa maana mmenunuliwa kwa gharama. Kwa hiyo mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 6:18-20