Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 92:12-15

Zaburi 92:12-15 NEN

Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni, waliopandwa katika nyumba ya BWANA, watastawi katika nyua za Mungu wetu. Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu, wakitangaza, “BWANA ni mkamilifu; yeye ni Mwamba wangu, na ndani yake hamna uovu.”