Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 51:10-12

Zaburi 51:10-12 NEN

Ee Mungu, uniumbie moyo safi, uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu. Usinitupe kutoka mbele zako wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu. Unirudishie tena furaha ya wokovu wako, unipe roho ya utii, ili initegemeze.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 51:10-12