Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 31:9-10

Zaburi 31:9-10 NEN

Ee BWANA unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida; macho yangu yanafifia kwa huzuni, nafsi yangu na mwili wangu kwa sikitiko. Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi, naam, miaka yangu kwa kulia kwa maumivu makali; nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso, na mifupa yangu inachakaa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 31:9-10