Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 18:46-49

Zaburi 18:46-49 NEN

BWANA yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu! Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu! Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi, awatiishaye mataifa chini yangu, aniokoaye na adui zangu. Uliniinua juu ya adui zangu; uliniokoa toka kwa watu wajeuri. Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee BWANA; nitaliimbia sifa jina lako.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 18:46-49