Sifa ni kwa BWANA Mwamba wangu, aifundishaye mikono yangu vita, na vidole vyangu kupigana. Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu, ngome yangu na mwokozi wangu, ngao yangu ninayemkimbilia, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu. Ee BWANA, mwanadamu ni nini hata umjali, Binadamu ni nini hata umfikirie?
Soma Zaburi 144
Sikiliza Zaburi 144
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zaburi 144:1-3
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video