Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 1:1-2

Zaburi 1:1-2 NEN

Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha. Bali huifurahia sheria ya BWANA, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 1:1-2

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha