Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani. Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu. Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia. Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu. Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: BWANA hutia nuru macho yao wote wawili. Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote. Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
Soma Mithali 29
Sikiliza Mithali 29
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Mithali 29:9-15
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video