Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 2:20-22

Mithali 2:20-22 NEN

Hivyo utatembea katika njia za watu wema na kushikamana na mapito ya wenye haki. Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake. Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mithali 2:20-22

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha