Mithali 16:3-5
Mithali 16:3-5 NENO
Mkabidhi Mwenyezi Mungu lolote ufanyalo, nayo mipango yako itafanikiwa. Mwenyezi Mungu hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe; hata waovu kwa siku ya maangamizi. Mwenyezi Mungu huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo. Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.