“Mwambie Aroni na wanawe, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli. Waambieni: “ ‘ “BWANA akubariki na kukulinda; BWANA akuangazie nuru ya uso wake na kukufadhili; BWANA akugeuzie uso wake na kukupa amani.” ’ “Hivyo wataliweka Jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”
Soma Hesabu 6
Sikiliza Hesabu 6
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Hesabu 6:23-27
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video