Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 5:6-7

Hesabu 5:6-7 NEN

“Waambie Waisraeli, ‘Wakati mwanaume au mwanamke akimkosea mwenzake kwa njia yoyote, na kwa hivyo akawa si mwaminifu kwa BWANA, mtu huyo ana hatia, na ni lazima atubu dhambi aliyoifanya. Ni lazima atoe malipo kamili kwa ajili ya kosa lake, aongeze sehemu ya tano juu ya malipo hayo na kutoa yote kwa mtu aliyemkosea.

Video for Hesabu 5:6-7