Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 11:24-26

Marko 11:24-26 NEN

Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote mtakayoyaomba mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea, nayo yatakuwa yenu. Nanyi kila msimamapo kusali, sameheni mkiwa na neno na mtu, ili naye Baba yenu aliye mbinguni awasamehe ninyi makosa yenu. [ Lakini kama ninyi msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.]”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 11:24-26