Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:20-21

Mathayo 6:20-21 NEN

Lakini jiwekeeni hazina mbinguni, mahali ambapo nondo na kutu haviharibu, wala wevi hawavunji na kuiba. Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo pia moyo wako utakapokuwa.