Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:17-18

Mathayo 6:17-18 NEN

Lakini mnapofunga, jipakeni mafuta kichwani na kunawa nyuso zenu ili kufunga kwenu kusionekane na watu wengine ila Baba yenu aketiye mahali pa siri; naye Baba yenu aonaye sirini atawapa thawabu yenu kwa wazi.