Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 20:17-19

Mathayo 20:17-19 NEN

Basi Yesu alipokuwa anapanda kwenda Yerusalemu, aliwachukua kando wale wanafunzi wake kumi na wawili na kuwaambia, “Tunapanda kwenda Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa viongozi wa makuhani na walimu wa sheria. Nao watamhukumu kifo na kumtia mikononi mwa watu wa Mataifa ili wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumsulubisha msalabani. Naye atafufuliwa siku ya tatu!”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 20:17-19