Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 2:13

Mathayo 2:13 NEN

Walipokwisha kwenda zao, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto akamwambia, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapowaambia, kwa maana Herode anataka kumtafuta huyu mtoto ili amuue.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 2:13