Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Malaki 4:5-6

Malaki 4:5-6 NEN

“Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya BWANA. Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Malaki 4:5-6