Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 5:30-32

Luka 5:30-32 NEN

Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wa dhehebu lao wakawalalamikia wanafunzi wa Yesu, wakisema, “Mbona mnakula na kunywa pamoja na watoza ushuru na ‘wenye dhambi’?” Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa. Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 5:30-32