Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 11:1-2

Luka 11:1-2 NEN

Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akiomba. Alipomaliza kuomba, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, tufundishe kuomba, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.” Akawaambia, “Mnapoomba, semeni: “ ‘Baba yetu (uliye mbinguni), jina lako litukuzwe, ufalme wako uje. (Mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.)

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 11:1-2