Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 15:1-2

Yohana 15:1-2 NEN

“Mimi ndimi mzabibu wa kweli na Baba yangu ndiye mkulima. Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda, Baba yangu hulikata, nalo kila tawi lizaalo, hulisafisha ili lipate kuzaa matunda zaidi.