Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 11:8

Yeremia 11:8 NEN

Lakini hawakusikiliza wala kujali. Badala yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Hivyo nikaleta juu yao laana zote za agano nililokuwa nimewaamuru wao kulifuata, lakini wao hawakulishika.’ ”