Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 3:13-14

Yakobo 3:13-14 NEN

Ni nani aliye na hekima na ufahamu miongoni mwenu? Basi na aionyeshe hiyo kwa maisha yake mema na kwa matendo yake yaliyotendwa kwa unyenyekevu utokanao na hekima. Lakini ikiwa mna wivu na ni wenye chuki na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu kwa ajili ya hayo wala msiikatae kweli.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 3:13-14