Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Habakuki 2:2-3

Habakuki 2:2-3 NEN

Kisha BWANA akajibu: “Andika ufunuo huu, na ukaufanye wazi juu ya vibao, ili mpiga mbiu akimbie nao. Kwa kuwa ufunuo huu unasubiri wakati uliokubalika; unazungumzia mambo ya mwisho, na kamwe hautakosea. Iwapo utakawia, wewe usubiri; kwa hakika utakuja na hautachelewa.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Habakuki 2:2-3