Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 47:5-6

Mwanzo 47:5-6 NEN

Farao akamwambia Yosefu, “Baba yako na ndugu zako wamekuja kwako, nayo nchi ya Misri ipo mbele yako, uwakalishe baba yako na ndugu zako katika sehemu iliyo bora kupita zote katika nchi. Na waishi Gosheni. Kama unamfahamu yeyote miongoni mwao mwenye uwezo maalum, waweke wawe wasimamizi wa mifugo yangu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 47:5-6