Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 18:17-19

Mwanzo 18:17-19 NEN

Ndipo BWANA akasema, “Je, nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia kufanya? Hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, kupitia kwake mataifa yote ya dunia yatabarikiwa. Kwa maana nimemchagua yeye, ili awaongoze watoto wake na jamaa yake kufuata njia ya BWANA, kwa kuwa waadilifu na kutenda haki, ili BWANA atimize ahadi yake kwa Abrahamu.”