Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 2:8-9

Waefeso 2:8-9 NEN

Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, wala si kwa matendo yenu mema. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu, si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.