Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 4:9-10

Mhubiri 4:9-10 NEN

Wawili ni afadhali kuliko mmoja, kwa sababu wana malipo mazuri kwa kazi yao: Kama mmoja akianguka, mwenzake atamwinua. Lakini ni jambo la kuhuzunisha kwa mtu yule aangukaye naye hana wa kumwinua!